Baadhi yetu mapadri duniani tumefanya vitu ambavyo ni ishara ya dhambi
katika ngazi ya juu kabisa. Wengine wameshitakiwa kwa kubaka, lakini
kuwaruhusu mapadri kuoa si suluhishi la vitendo viovu; kwa kuwa hata
wana taaluma wengine wamekuwa wakisikika kushiriki vitendo hivyo lilcha
ya kuwa ni watu wenye wake zao.
-Kardinali Polycarp Pengo
0 comments:
Post a Comment