"Soka yetu inaumwa kwa hiyo vijana wadogo ni tiba kubwa ya soka yetu, tuwekeze kwao" - Dk Emmanuel Nchimbi
Mheshimiwa Nchimbi aliwahi kusema hiyo kauli siku moja katika harakati zake kipindi alipokua waziri wa habari na michezo...vipi watanzania mnasemaje? Je hiyo kauli inatekelezwa na viongozi na wadau wetu wa soka? Sema chochote hapo chini.
Home »
Dk. Emmanuel Nchimbi
» Dk. Emmanuel Nchimbi
Dk. Emmanuel Nchimbi
Labels:
Dk. Emmanuel Nchimbi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment