"8/11/2013 ni siku muhimu sana kwangu Asante Mh Raisi Jakaya Kikwete...Milele ubarikiwe kwa kunisaidia kunileta kitengo hiki na kutuletea watanzania hii dawa ya Methadone Tanzania...We love you"
"....Tanzania bila madawa ya kulevya inawezekana. Hujui lini yatakutokea mami usihukumu wala kudharau mtu katika maisha yako kwani wewe huna mkataba na mungu wala hii dunia si yako omba sana usije pata mtihani mgumu zaidi ya sisi wenzako"
Chanzo cha nukuu: http://www.bongo5.com/picha-ray-c-asheherekea-na-waliokuwa-waathirika-wa-dawa-za-kulevya-mwaka-1-tangu-aachane-nazo-11-2013/
Kama wewe ni shabiki wa Ray C una maoni gani kuhusu kauli ya Ray C...changia hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment