"Maisha magumu yalichangia niwe TEJA"
"Sasa hivi nafanya muziki lakini nipo kimataifa zaidi, kwani wanamuziki wengi nchini uhishia kusikika nchini" -Q-Chilla
Kauli hii mwanamuziki Abubakari katwila al maarufu ''Q-chilla" aliitoa siku chache baada ya kutangaza kwa jamii na mashabiki wake kuacha kutumia madawa ya kulevya aliyodumu kuyatumia takribani miaka miwili.
Wewe kama mdau wa muziki wa bongofleva na shabiki wa Q CHILLA unaizungumziaje kauli hiyo?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment