"Sababu kubwa ni kwamba nimekaa chini na kugundua kuwa pombe zinanipoteza pia nimefuata ushauri wa wazazi wangu waliokuwa wakinihubiria kila siku kuepukana na ulabu, ndugu na marafiki naokwa kiasi kikubwa wamenibadilisha" -Mr blue
Haya watanzania,hayo ni maneno ya msanii mahiri wa muziki wa Bongo flava aliyowahi kuyasema kipindi fulani hapo nyuma...Je wewe unalipi la kutuambia juu ya kauli hiyo?? Ongea chochote!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment