.

Home » » Mr Blue

Mr Blue

"Sababu kubwa ni kwamba nimekaa chini na kugundua kuwa pombe zinanipoteza pia nimefuata ushauri wa wazazi wangu waliokuwa wakinihubiria kila siku kuepukana na ulabu, ndugu na marafiki naokwa kiasi kikubwa wamenibadilisha"  -Mr blue


Haya watanzania,hayo ni maneno ya msanii mahiri wa muziki wa Bongo flava aliyowahi kuyasema kipindi fulani hapo nyuma...Je wewe unalipi la kutuambia juu ya kauli hiyo?? Ongea chochote!


Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Maskolis | Johny Portal | Johny Magazine | Johny News | Johny Demosite
Copyright © 2011. NANUKUU - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website Inspired Wordpress Hack
Proudly powered by Blogger