.

Pius Msekwa

Friday, February 15, 2013

"Acheni wivu wa kike" --Pius Msekwa
Continue Reading | comments

Freeman Aikaeli Mbowe

"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
Continue Reading | comments

King Majuto

Friday, February 1, 2013

"Hatuna thamani hivyo nimeona bora nikavue samaki na kuendeleza shughuli za kilimo katika shamba langu" -King Majuto


Hebu tujikumbushe hii kauli ya Mchekeshaji asie na mpinzani hapa Tanzania...King majuto, hii ndo kusema ameacha Sanaa hii iliyompatia umaarufu ama?? Hebu Zungumza unachohisi.
Continue Reading | comments

Mr Blue

"Sababu kubwa ni kwamba nimekaa chini na kugundua kuwa pombe zinanipoteza pia nimefuata ushauri wa wazazi wangu waliokuwa wakinihubiria kila siku kuepukana na ulabu, ndugu na marafiki naokwa kiasi kikubwa wamenibadilisha"  -Mr blue


Haya watanzania,hayo ni maneno ya msanii mahiri wa muziki wa Bongo flava aliyowahi kuyasema kipindi fulani hapo nyuma...Je wewe unalipi la kutuambia juu ya kauli hiyo?? Ongea chochote!


Continue Reading | comments

Q-Chilla

"Maisha magumu yalichangia niwe TEJA"
"Sasa hivi nafanya muziki lakini nipo kimataifa zaidi, kwani wanamuziki wengi nchini uhishia kusikika nchini" -Q-Chilla


Kauli hii mwanamuziki Abubakari katwila al maarufu ''Q-chilla" aliitoa siku chache baada ya kutangaza kwa jamii na mashabiki wake kuacha kutumia madawa ya kulevya aliyodumu kuyatumia takribani miaka miwili.
Wewe kama mdau wa muziki wa bongofleva na shabiki wa Q CHILLA unaizungumziaje kauli hiyo?
Continue Reading | comments

Tangaza hapa

Tangaza hapa

Burudani

Zinakuja..

Habari za Ulimwengu

zinakuja..
NukuuTz-2012. Powered by Blogger.
 
Support : Creating Website | Johny Template | Maskolis | Johny Portal | Johny Magazine | Johny News | Johny Demosite
Copyright © 2011. NANUKUU - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website Inspired Wordpress Hack
Proudly powered by Blogger