Freeman Aikaeli Mbowe
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
Labels:
Freeman Aikaeli Mbowe
King Majuto
Friday, February 1, 2013
"Hatuna thamani hivyo nimeona bora nikavue samaki na kuendeleza shughuli za kilimo katika shamba langu" -King Majuto
Hebu tujikumbushe hii kauli ya Mchekeshaji asie na mpinzani hapa Tanzania...King majuto, hii ndo kusema ameacha Sanaa hii iliyompatia umaarufu ama?? Hebu Zungumza unachohisi.
Hebu tujikumbushe hii kauli ya Mchekeshaji asie na mpinzani hapa Tanzania...King majuto, hii ndo kusema ameacha Sanaa hii iliyompatia umaarufu ama?? Hebu Zungumza unachohisi.
Labels:
Majuto
Mr Blue
"Sababu kubwa ni kwamba nimekaa chini na kugundua kuwa pombe zinanipoteza pia nimefuata ushauri wa wazazi wangu waliokuwa wakinihubiria kila siku kuepukana na ulabu, ndugu na marafiki naokwa kiasi kikubwa wamenibadilisha" -Mr blue
Haya watanzania,hayo ni maneno ya msanii mahiri wa muziki wa Bongo flava aliyowahi kuyasema kipindi fulani hapo nyuma...Je wewe unalipi la kutuambia juu ya kauli hiyo?? Ongea chochote!
Haya watanzania,hayo ni maneno ya msanii mahiri wa muziki wa Bongo flava aliyowahi kuyasema kipindi fulani hapo nyuma...Je wewe unalipi la kutuambia juu ya kauli hiyo?? Ongea chochote!
Labels:
Blue
Q-Chilla
"Maisha magumu yalichangia niwe TEJA"
"Sasa hivi nafanya muziki lakini nipo kimataifa zaidi, kwani wanamuziki wengi nchini uhishia kusikika nchini" -Q-Chilla
Kauli hii mwanamuziki Abubakari katwila al maarufu ''Q-chilla" aliitoa siku chache baada ya kutangaza kwa jamii na mashabiki wake kuacha kutumia madawa ya kulevya aliyodumu kuyatumia takribani miaka miwili.
Wewe kama mdau wa muziki wa bongofleva na shabiki wa Q CHILLA unaizungumziaje kauli hiyo?
"Sasa hivi nafanya muziki lakini nipo kimataifa zaidi, kwani wanamuziki wengi nchini uhishia kusikika nchini" -Q-Chilla
Kauli hii mwanamuziki Abubakari katwila al maarufu ''Q-chilla" aliitoa siku chache baada ya kutangaza kwa jamii na mashabiki wake kuacha kutumia madawa ya kulevya aliyodumu kuyatumia takribani miaka miwili.
Wewe kama mdau wa muziki wa bongofleva na shabiki wa Q CHILLA unaizungumziaje kauli hiyo?
Labels:
Q-Chilla
Subscribe to:
Posts (Atom)