Monday, November 25, 2013
"...kama mtu ataona kwamba gharama za umeme ni kubwa, basi akawashe kibatari au akae gizani."
--Mh Simbachawene
Source: Kumepambazuka, Radio One.
--Mh Simbachawene
Source: Kumepambazuka, Radio One.
Maneno haya aliyasema muigizai huyo mkongwe wa filamu za kitanzania, kimsingi ni msimamo mzuri na utasaidia kiasi fulani kuutangaza utamaduni wetu wa kiafrika. Haya sasa nawaachia nyie wadau wa blog yetu ya nukuu unamaoni gani kuhusiana na kauli hii ya rich.Chanzo: HabariLeo Nov 16