.

Home » » Mh Kassim Majaliwa

Mh Kassim Majaliwa


“.................., Nataka niwaambie kwamba tulipata shida mwaka 2015 kwenye uchaguzi, tukapata kura kiduchu na waliosababisha ni watumishi wa umma,”

~Waziri Mkuu Mh Kassim Majaaliwa

Akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Wilaya katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa shule ya msingi Rweikiza mjini Bukoba, Majaliwa alisema CCM ilitaka kuangushwa na baadhi ya watumishi wa umma jambo alilosema lilishindikana na halitawezekana tena.
Source: Mwananchi.co.tz
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Johny Template | Maskolis | Johny Portal | Johny Magazine | Johny News | Johny Demosite
Copyright © 2011. NANUKUU - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website Inspired Wordpress Hack
Proudly powered by Blogger