.

Mh Simbachawene,

Monday, November 25, 2013

"...kama mtu ataona kwamba gharama za umeme ni kubwa, basi akawashe kibatari au akae gizani."

--Mh Simbachawene

Source: Kumepambazuka, Radio One.
Continue Reading | comments

Ray C

Tuesday, November 19, 2013

"8/11/2013 ni siku muhimu sana kwangu Asante Mh Raisi Jakaya Kikwete...Milele ubarikiwe kwa kunisaidia kunileta kitengo hiki na kutuletea watanzania hii dawa ya Methadone Tanzania...We love you"

"....Tanzania bila madawa ya kulevya inawezekana. Hujui lini yatakutokea mami usihukumu wala kudharau mtu katika maisha yako kwani wewe huna mkataba na mungu wala hii dunia si yako omba sana usije pata mtihani mgumu zaidi ya sisi wenzako"

Chanzo cha nukuu: http://www.bongo5.com/picha-ray-c-asheherekea-na-waliokuwa-waathirika-wa-dawa-za-kulevya-mwaka-1-tangu-aachane-nazo-11-2013/


Kama wewe ni shabiki wa Ray C una maoni gani kuhusu kauli ya Ray C...changia hapa
Continue Reading | comments

Single mtambalike

"Filamu za kuonesha magari na majumba ya kifahari, sasa basi"

Chanzo: HabariLeo Nov 16
Maneno haya aliyasema muigizai huyo mkongwe wa filamu za kitanzania, kimsingi ni msimamo mzuri na utasaidia kiasi fulani kuutangaza utamaduni wetu wa kiafrika. Haya sasa nawaachia nyie wadau wa blog yetu ya nukuu unamaoni gani kuhusiana na kauli hii ya rich.
Continue Reading | comments

Tangaza hapa

Tangaza hapa

Burudani

Zinakuja..

Habari za Ulimwengu

zinakuja..
NukuuTz-2012. Powered by Blogger.
 
Support : Creating Website | Johny Template | Maskolis | Johny Portal | Johny Magazine | Johny News | Johny Demosite
Copyright © 2011. NANUKUU - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website Inspired Wordpress Hack
Proudly powered by Blogger