Wednesday, January 23, 2013
Baadhi yetu mapadri duniani tumefanya vitu ambavyo ni ishara ya dhambi
katika ngazi ya juu kabisa. Wengine wameshitakiwa kwa kubaka, lakini
kuwaruhusu mapadri kuoa si suluhishi la vitendo viovu; kwa kuwa hata
wana taaluma wengine wamekuwa wakisikika kushiriki vitendo hivyo lilcha
ya kuwa ni watu wenye wake zao.
-Kardinali Polycarp Pengo